Posted on: December 8th, 2024
Katika maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika, Watanzania wameaswa kuwa na mioyo ya kujitolea pamoja na uzalendo na kushiriki kikamilifu katika juhudi za kulijenga na kuliendeleza taifa.
...
Posted on: December 7th, 2024
Katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero leo Desemba 7, 2024 imefanya shughuli maalum ya kupanda miti ya matunda kuzunguka viwanja vya michezo vya Halmas...
Posted on: December 6th, 2024
Katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mwl. Linno Mwageni ametoa wito kwa watumishi na wananchi wote kushiriki katika zoezi la u...