Posted on: August 15th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amewataka Maafisa Ugani wa Wilaya hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kuleta matokeo chanya ya uzalishaji katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi Wilayani humo...
Posted on: August 8th, 2024
Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imeibuka mshindi wa nne na kubeba Kombe kwenye ushindi wa jumla kwenye maonesho ya Nane nane Kanda ya Mashariki 2024 ambayo yamefungwa na Mhe. Mizengo Pinda Wazi...
Posted on: August 7th, 2024
Wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero leo Agosti 7, 2024 wametembelea banda la maonesho la Halmashauri hiyo katika Maonesho ya Nane nane Kanda ya Mashariki 2024 yanayoendelea katika viwan...