• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

UWT MVOMERO WAKABIDHI BIMA YA AFYA KWA MTOTO OMARY KIYONDO

Posted on: May 30th, 2025

Mwenyekiti Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mvomero Bibi Rachael Kingu kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo amekabidhi kadi ya Bima kwa mtoto Omary Idd Kiyondo wa Kijiji cha Salawe, Kata ya Kibati, Tarafa ya Mvomero iliyotokana na Harambee kutoka kwa Wanawake wa Wilaya ya Mvomero iliyofanyika katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kiwilaya yalifanyika tarehe 05 Machi, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Zoezi hilo la kukabidhi Bima hiyo limefanyika Mei 30, 2025 nyumbani kwa mtoto Omary Idd Kayondo katika kijiji cha Salawe.

Akizungumza wakati akikabidhi Bima hiyo, Bibi Rachael Kingu amesema kuwa Wanawake wa Wilayani ya Mvomero waliguswa na changamoto ya mtoto huyo hivyo walifanya harambee ambapo walipata zaidi ya shilingi 300,000 huku akibainisha kuwa wameshirikisha wadau mbalimbali ambao wamewezesha kupatikana kwa bima kwa ajili ya matibabu yake.

Aidha, amewashukuru Wanawake wote pamoja na wadau ambao wamefanikisha kupatikana kwa bima na nauli kwa ajili ya matibabu huku akiwasisitiza wazazi wa mtoto huyo kumpeleka mtoto akapate matibabu katika hospitali waliyoelekezwa na wataalam.

Kwa upande wake, Baba mzazi wa mtoto huyo Bw. Idd Mwinjuma Kiyondo ameishukuru Serikali kwa msaada huo wa bima akibainisha kuwa awali alishindwa kumudu gharama za matibabu kutokana na kukosa fedha lakini kupitia msaada huo mtoto atapatiwa matibabu.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • UWT MVOMERO WAKABIDHI BIMA YA AFYA KWA MTOTO OMARY KIYONDO

    May 30, 2025
  • WITO UMETOLEWA KWA WADAU, SERIKALI KUONGEZA JUHUDI KATIKA UTOAJI ELIMU YA HEDHI SALAMA VIJIJINI

    May 28, 2025
  • WAHE. MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MLIMBA WATEMBELEA MVOMERO KUJIFUNZA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI UNAVYOWAKOMBOA WAKULIMA WA KAKAO

    May 24, 2025
  • MVOMERO KUUZA UFUTA KUPITIA STAKABADHI GHALANI KUANZIA MEI 20, 2025

    May 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.