• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Huduma za Mifugo

1 Sekta ya  Mifugo  

Wilaya ya Mvomero inakadiriwa kuwa na jumla ya Wafugaji 18,749 ambao wanamiliki jumla ya Ng’ombe 201,410, Mbuzi 84,180, Kondoo 13,627 na Punda 2,128. Eneo la Wilaya ni Ha. 732,500 na eneo linalofaa kwa ufugaji ni Ha. 266,400 lenye uwezo wa kulisha ng’ombe 133,200 kwa mwaka. Eneo hili ni pungufu kwa Ha. 136,420 kulingana na idadi ya Ng’ombe waliopo kwa sasa, ambapo ng’ombe 1 anahitaji hekta 2 za malisho kwa mwaka.

1.2 Uzalishaji wa nyama na maziwa.

Wilaya ina machinjio ndogo 7 na machinjio kubwa 1 inayomilikiwa na kampuni ya  (Nguru Hills Ranch). Kwa wastani idadi ya wanyama wanaochinjwa kwa mwaka ni 40,765 katika machinjio ndogo.

Wilaya ya Mvomero ina jumla ya ng'ombe wa maziwa 10,744. Wastani wa uzalishaji wa maziwa  ndani ya Wilaya kwa mwaka ni maziwa ya ng’ombe lita 10, 697,400 na maziwa ya mbuzi lita 135,040.

1.3 Miundombinu ya Mifugo

Katika kuboresha utoaji huduma kwa Wafugaji na mifugo yao, Wilaya kwa kushirikiana na wadau imejenga na kuimarisha miundombinu mbalimbali ya mifugo.Kwa sasa wilaya ya Mvomero inayo jumla ya majosho 24, makaro ya kuchinjia 10, machinjio ndogo 7, vituo vya kukusanyia maziwa 12 , malambo ya kunyweshea mifugo 16 na minada ya mifugo 5 .

1.4    Dawa za ruzuku za kuogesha mifugo.

Kwa kipindi cha mwaka 2021 hadi 2022 Wilaya imepokea toka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi dawa za ruzuku za kuogesha mifugo lita 120. Matumizi ya dawa hizi yamepunguza vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa ya kupe kwa asilimia 50.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

    April 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 7 YENYE THAMANI YA TSH. 1.06 WILAYANI MVOMRO

    April 13, 2025
  • DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

    March 27, 2025
  • KUU MVOMERO YAKISHUKURU KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA KWA KUSAIDIA WANANCHI KURUDISHA MTO KWENYE MKONDO WAKE

    March 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.