• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MIPANGO, BAJETI ZA HALMASHAURI ZIENDANE NA DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050 - RC MALIMA

Posted on: January 27th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amezitaka Halmashauri zote mkoani humo kuhakikisha mipango na bajeti wanazoandaa zinaendana na Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ili kuchochea maendeleo endelevu na jumuishi kwa wananchi.

Mhe. Malima ametoa agizo hilo Januari 27, 2026 wakati wa kikao cha tathmini ya utendaji kazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halimashauri.

Mkuu huyo wa Mkoa amesisitiza kuwa ufanisi wa maendeleo ya wananchi unatokana na mipango bora inayotekelezwa kwa kuzingatia vipaumbele vya Wilaya, Mkoa na taifa. Huku akibainisha kuwa mipango isiyolingana na dira ya taifa inaweza kusababisha matumizi yasiyo na tija ya rasilimali za umma.

“…tuntaka hiyo mliyotuletea na takwimu mlizoandika ziendane na Dira ya Taifa 2050…” amesema Mkuu wa Mkoa.

Naye Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Usimamizi, ufuatiliaji Bi. Neema Dachi ameainisha vigezo vinavyotumika kupima utendaji kazi wa Halmashauri mbalimbali ikiweo ukusanyaji wa mapato, utengaji wa fedha za miradi ya maendeleo, miradi iliyotekelezwa kuanzia mwaka wa fedha wa 2021/2022 hadi kufikia 2025/2026 mwezi Disemba 2025, utekelezaji wa miradi viporo ya Serikali kuu na mapato ya ndani.


Aidha, ameongeza kuwa vipaumbele vingine ni pamoja na utoaji wa mikopo ya asilimia 10 na marejesho yake, utoaji wa fedha za lishe, utoaji wa taulo za kike, utoaji wa vyandarua na utoaji wa vyakula mashuleni, utekelezaji wa miradi ya Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) pamoja na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Ndg. Paulo Faty ameahidi kuyafanyia kazi maelekezo na maagizo yaliyotolewa na Viongozi wa Mkoa ili kuhakikisha kuwa Halmashauri hiyo inafikia malengo yake ya kutoa huduma bora kwa wananchi.


MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MIPANGO, BAJETI ZA HALMASHAURI ZIENDANE NA DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050 - RC MALIMA

    January 27, 2026
  • DC MVOMERO ALIPONGEZA SHIRIKA LA SAWA KUJENGA MADARASA YA SHULE SHIKIZI, AAGIZA MCHAKATO WA USAJILI UANZE MARA MOJA

    January 23, 2026
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO SEKTA ZA AFYA, ELIMU

    January 22, 2026
  • WAZAZI/WALEZI WAELIMISHWE JUU YA UMUHIM WA CHAKULA SHULENI ILI WAHAMASIKE KUCHANGIA

    January 19, 2026
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.