• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

ZIARA YA RAIS SAMIA YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA MPUNGA MVOMERO, SASA WATAUZA SH. 900 KWA KILO.

Posted on: August 26th, 2024

Kutokana na malalamiko na vilio vya wakulima wa zao la mpunga Mkoani Morogoro wakilalamikia kutopata faida katika zao hilo, sasa neema imewafikia wakulima hao baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuigiza Wakala wa Taifa wa hifadhi ya Chakula - NFRA kununua mpunga huo kwa shilingi 900.

Akizungumza na wakulima wa zao hilo wa Kata ya Dakawa Agosti 26, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli wakati akitoa taarifa kwa wakulima juu ya uwepo wa NFRA katika Kata hiyo amewataka kujitokeza ili waweze kuuza mpunga wao.

Mhe. Nguli amesema lengo la Serikali ya Rais Samia ni kuhakikisha kuwa kila mkulima anapata faida na kuinuka kiuchumi kupitia shughuli kilimo anayoifanya ndiyo maana amesikia kilio cha wakulima wa mpunga kutokana na bei isiyo rafiki kwa wakulima badala yake hali zao zimekuwa chini.

"...hawa watajitambulisha muwapokee, mfanye nao biashara.." amesema Mkuu wa Wilaya.

Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amekea tabia ya baadhi ya Wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi na kwamba kodi hizo ndiyo zinazo saidia Halmashauri kuboresha huduma za jamii kama shule, maji na huduma za afya.

Naye Msimamizi wa Maghala kutoka NFRA Bw. Paul amesema wanatekeleza agizo la Rais Samia la kununua mpunga kwa shillingi 900 kwa kilo huku akiwaomba wakulima hao kutoa ushirikiano. Pia amesema mkulima atakatwa kodi ya asilimia 2 kwa ajili ya TRA na asilimia 3 itakakwa NFRA kwa ajili ya mapato ya Halmashauri.

Kwa upande wao wakulima akiwemo Bw. Nasibu Katoto ameishukuru NFRA kwa kuja kununua mpunga huo huku akiomba elimu zaidi itolewe hususan kwenye tozo ya asilimia 2 ambayo mkulima anatakiwa kulipa. Aidha amesema kwa bei hiyo ya shilingi 900 kwa kilo ni bei nzuri na kwamba inambeba mkulima ukilinganisha na bei za wanunuzi wengine.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.