• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

WATENDAJI WA KATA, VIJIJI MVOMERO WAAGIZWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: February 14th, 2025

Watendaji wa kata na vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, wameagizwa kuhakikisha wanasimamia kikamilifu miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyostahili.

Agizo hilo limetolewa leo Februari 14, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Bi. Loema Peter wakati wa kikao kazi cha Watendaji wa Kata na Vijiji pamoja na Mapitio ya mfumo wa Mapato (FFARS) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.

Bi. Loema amesema kuwa serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo kama ujenzi wa shule, zahanati, barabara, na miradi ya maji, hivyo ni jukumu la watendaji wa ngazi za chini kuhakikisha miradi hiyo inatekelezwa ipasavyo.

“...mradi wowote uliopo kwenye kipande chako hicho ulichopewa kama ni kijiji, kama ni Kata ule mradi unakuhusu...unakaaje pembeni wakati upo nyumbani kwako...” amesisitiza Mkurugenzi.

Aidha, amewataka watendaji hao kufuatilia miradi yote na kutambua kama miradi hiyo ni ya Serikali au ya watu binafsi na wananchi wa eneo hilo wananufaikaje na hiyo miradi.

Sambamba na hilo, Mkurugenzi huyo amesisitiza kuwa pamoja na majukumu mengine watendaji wanajukumu la kulinda Amani na utulivu katika maeneo yao.

Katika Hatua nyingine, Bi. Loema amewata watendaji wa kata na Vijiji kusimamia mapato na matumizi katika maeneo yao huku akibainisha kuwa kwa mujibu wa sheria watendaji wanatakiwa kusoma taarifa za mapato na matumizi kwa wananchi kila baada ya miezi mitatu.

Kwa upande wao, baadhi ya watendaji wa kata na vijiji waliohudhuria kikao hicho wameahidi kutekeleza maelekezo hayo kwa bidii na kuhakikisha miradi yote inayotekelezwa Mvomero inaleta manufaa yaliyokusudiwa kwa jamii.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.