• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA, TARATIBU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: August 6th, 2025

Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata wametakiwa kuzingatia hatua, miongozo na taratibu zote za kisheria katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa haki, amani na kwa kuzingatia misingi ya demokrasia.

Wito huo umetolewa na Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo Bw. Amos Kanige wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata yaliyofanyika katika ukumbi wa Prof. Kuzilwa uliyopo katika Kata ya Mzumbe.

Bw. Kanige amesema kuwa Uchaguzi ni mchakato unaojumuisha hatua na taratibu mbalimbali za kikatiba na kisheria ambazo upaswa kufuatwa na kuzingatiwa huku akiongeza kuwa hatua na taratibu hizo ndiyo msingi wa Uchaguzi bora na wenye ufanisi na kupunguza ama kuondoa kabisa malalamiko au vulugu wakati wote wa uchaguzi.


"...natumia fursa hii kuwaasa kuwa pamoja na uzoefu ambao baadhi yenu mnao katika uendeshaji wa Uchaguzi msiache kusoma katiba, sheria kanuni, taratibu, miongozo na fuateni na kutekeleza maelekezo mbalimbali yatakayotolewa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)..." amesema Bw. Kanige.


Aidha, amewakumbusha wasimamizi hao kuwa wanabeba dhamana kubwa katika kuhakikisha kuwa uchaguzi unafanyika kwa weledi, wakizatia kuwa nafasi waliyopewa ni ya kuaminika na nyeti, hivyo wanapaswa kuzingatia maadili na uadilifu wakati wote wa mchakato wa uchaguzi.


Ikumbukwe kuwa Uchaguzi Mkuu huo utafanyika Oktoba 29, 2025 hivyo wananchi wanatakiwa kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao ambapo Uchaguzi huu utahusisha kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani.


"Kura yako, Haki yako, Jitokeze kupiga kura".


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.