• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

WAHESHIMIWA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MVOMERO WAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 59,464,950,810 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

Posted on: February 20th, 2025

Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero likiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mhe. Yusuph Makunja wamejadili na kupitisha bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/2026 kiasi cha shilingi bilioni 59,464,950,810

Akiwasilisha mpango wa bajeti hiyo mbele ya Baraza la Madiwani, Afisa Mipango na Uratibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Bw. Amos Kanige amesema kuwa Halmashauri inakisia kukusanya jumla ya shilingi Bilioni 59,464,950,810 kutoka vyanzo vya mapato vya Halmashauri hiyo, Ruzuku ya Serikali kuu na Wadau wa Maendeleo.

Aidha, ameongeza kuwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri, wanakisia kukusanya kiasi cha bilioni 5,556, Ruzuku ya Serikali kuu kiasi cha bilioni 49 na fedha kutoka kwa wadau wa maendeleo ni kiasi cha bilioni 4,865.

Sambamba na hilo, Afisa Mipango huyo amebainisha vipaumbele vya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2025/2026 vikiwemo, kuboresha huduma za elimu kwa kutoa elimu bila malipo kuanzia elimu ya awali hadi kidato cha sita, kuboresha miundombinu ya elimu, kuboresha huduma za Afya, kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri, kuwezesha wananchi kiuchumi na kuendelea kutoa ruzuku ya kunusuru kaya maskini kupitia mpango wa TASAF III.

Akizungumza baada ya kupitishwa kwa bajeti hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Bi Loema Peter amewashukuru Waheshimiwa Madiwani pamoja na Mkuu wa Wilaya kwa kuridhia na kupitisha bajeti ya Halmashauri pamona na bajeti ya TARURA.

MWISHO

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.