• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

Posted on: August 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Maulid Dotto, ameahidi kushirikiana na wadau mbalimbali kutafuta eneo maalum litakalotumika kwa ajili ya mashindano ya mbio za magari wilayani humo.

Akizungumza Agosti 17, 2025 wakati akifunga rasmi mashindano hayo ambayo yaliaanza Agosti 16, 2025 Mhe. Dotto amesema Serikali inatambua mchango wa michezo ya magari katika kujenga vipaji, kutoa burudani na kuchochea uchumi kupitia uwekezaji na utalii wa ndani.

Aidha, kwa kutambua mchango huo amewataka waandaaji wa michezo hiyo kuwasilisha barua katika ofisi yake ikiahinisha sifa za eneo linalofaa kwa ajili ya michezo ya magari.

“...niwaombe wahusika kuleta suala hilo kwangu kwa kuniandikia barua ambayo itaahinisha sifa na ukubwa wa eneo linalohitajika ili nami niweze kupata nafasi ya kuangalia kama katika wilaya ya Mvomero tunaweza kupata eneo la kumiliki ninyi wenyewe..." amesema Mkuu waWilaya.

Sambamba na hilo amewapongeza viongozi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Walaya ya Mvomero kupitia shamba la miti Morogoro kwa kutoa eneo lao kwa ajili ya mashindano hayo kwani yanahamasisha utalii wa ndani.


Kwa upande wao, wadhamini wa mashindano hayo wamesema lengo la mashindano hayo ni kuwaleta pamoja wadau mbalimbali pamoja na kutoa fursa kwa watu wakiwemo wajasiliamali hususan wakati wa mashindano. Wameongeza kuwa changamoto kubwa ni kukosa eneo maalum la kufanyia mashindano hayo jambo linalosababisha kutofikia malengo.


MWISHO

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • DC MVOMERO ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE MPYA YA KATA YA MKINDO

    August 15, 2025
  • DC MVOMERO AKAGUA MIRADI YA BARABARA TARAFA YA MGETA

    August 14, 2025
  • DC MAULID DOTTO AANZA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.