• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

VIWANJA VYA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KUWA ENEO LA SOKO LA WAKULIMA

Posted on: August 8th, 2025

Katika kuhakikisha wananchi wanaendelea kunufaika na maonesho ya Nane Nane hata baada ya kufungwa rasmi, viwanja vya Nane Nane vilivyopo Katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro, vinatarajiwa kuwa soko la kudumu la bidhaa mbalimbali zikiwemo mboga mboga, nyama choma pamoja na matunda pia ni eneo la kutoa shamba darasa kwa wakulima, wafugaji na wavuvi.

Hayo yamebainishwa Agosti 8, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian wakati akizungumza na Viongozi pamoja na wananchi kwenye kilele cha Maonesho ya Nane nane Kanda ya Mashariki 2025 yaliyofanyika katika viwanja vya Mwl. J. K Nyerere vilivyopo katika Manispaa ya Morogoro.


Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa mpango huo unatajwa kuwa ni sehemu ya mkakati wa kuwainua wakulima wadogo na wajasiriamali kwa kuwawezesha kuuza bidhaa zao moja kwa moja kwa walaji huku akiwataka wananchi kuendelea kutembelea viwanja hivyo ili waendelee kujifunza.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Nane nane Kanda ya Mashariki 2025 amesema kuwa hatua hiyo inalenga kuongeza tija na matumizi endelevu ya eneo hilo hususan baada ya Maonesho hayo kuhitimishwa rasmi. Pia, amesema kila siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili zitakuwa siku mabazo wakulima watauza bidhaa zao.

Katika hatua nyingine, Mhe. Malima amesema pamoja na uuzaji wa mboga mboga kutakuwa na uwepo wa nyama choma pamoja na maonesho ya wanyama na michezo mingine ya kuvutia.

Naye, Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari amebainisha kuwa Kanda ya Mashariki inachangia kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa Sukari hapa nchini huku akieleza matarajio ya bodi ni kuzalisha tani 756000 za sukari ili nchi iweze kujitosheleza kwa sukari


Maonesho ya Nane nane kanda ya Mashariki 2025 yataendelea hadi Agosti 9, 2025 huku yakiwa na kaulimbiu isemayo "Chagua Viongozi bora kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025"


MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC MAULID DOTTO AANZA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • MVOMERO YAIBUKA MSHINDI WA TATU MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KWA MKOA WA MOROGORO

    August 08, 2025
  • VIWANJA VYA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KUWA ENEO LA SOKO LA WAKULIMA

    August 08, 2025
  • NGOs ZATAKIWA KUJIKITA KWENYE MBINU ZA KUENDELEZA MIRADI INAYOANZISHWA

    August 06, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.