• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA

Posted on: November 2nd, 2024

Katika juhudi za kuinua uchumi wa vijana nchini, Serikali imewataka vijana kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ili kuweza kujikwamua kiuchumi. Mikopo hii inalenga kuwawezesha vijana kuibua miradi yenye tija, kuanzisha biashara, na kuongeza fursa za ajira.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Studio ya Muziki katika Kata ya Dakawa Wilayani Mvomero, Katibu Tawala na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo na Sanaa la Wilaya hiyo Bw. @saidnguya amewataka Vijana  kujitokeza kwa wingi na kutumia fursa hii ya mikopo ambayo ni moja ya juhudi za serikali kuunga mkono mipango ya maendeleo ya vijana na kuinua hali za kiuchumi za jamii kwa ujumla huku akibainisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imetenga zaidi ya shilingi milioni 700 kwa ajili ya mikopo kwa vikundi vya Vijana, Wanawake na wenye ulemavu.

Katibu Tawala huyo amesisitiza kuwa mikopo hii hutolewa kwa masharti nafuu bila riba wala dhama na inalenga kusaidia vijana kutekeleza miradi mbalimbali kama vile kilimo, biashara, ufugaji, na ujasiriamali mdogo.

Katika hatua nyingine, Bw. Nguya amewapongeza Vijana hao kuwa na wazo la kubuni Studio hiyo ambayo ni ya kwanza katika Wilaya hiyo huku akisema kuwa sanaa ni kazi kama kazi nyingine ambazo zinawasaidia watu kujiingizia vipato.

Pamoja na hayo ametoa ahadi ya kulipia gharama za kurekodi muziki kwa wasanii wanne ambao watahitaji kurekodi nyimbo angalau moja lengo ni kuhakikisha kuwa wasanii wa Wilaya hiyo wanafanikiwa katika shughuli zao za sanaa.

MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.