• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

TFDA YAWAFUNDA WATUMISHI MVOMERO

Posted on: May 2nd, 2018

Mamlaka ya Chakula na Dawa imetoa elimu kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Mvomero juu ya matumizi sahihi ya matumizi ya vyakula, vipodozi na madawa mbalimbali ili kulinda afya zao na kujiepusha kujiingiza kwenye mitego ya wafanyabiashara wasio waadilifu ambao nia yao ni kupata faida bila kujali afya za walaji.

Elimu hiyo ya ilitotolewa na watendaji wa TFDA kwenye ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mvomero juma lililopita walipotembelewa wilayani humo kama moja ya jukumu lao kuelimisha umma juu ya madhara yatokanayo na matumizi mabovu ya bidhaa batili na kuwaasa wawe mabalozi wazuri kwa wananchi walioko vijijini na kokote wanapoenda.

Watendaji hao walionyesha mfano wa bidhaa za matumizi ya kila siku ambazo kwa mtu wa kawaida hawezi kugundua kama ni feki lakini kwa kuelimisha watafahamu kwamba bidhaa hizo ni feki na na hazifai kwa matumizi ya binadamu

 Akizungumza kwa niaba ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya hiyo Ndg. Florent Kyombo amewashukuru watendaji hao kwa kutoa elimu hiyo na kuwakaribisha tena kwa mara nyingine muda wowote na wajiskie wako nyumbani kwani elimu wanayotoa ni muhimu sana kwa afya za wananchi na taifa kwa ujumla

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA August 22, 2023
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI MFUMO ANWANI ZA MAKAZI March 07, 2022
  • ADVERTISEMENT FOR SUPPLY, INSTALL, TEST AND COMMISSION THE LIGHT IN MVOMERO DISTRICT COUNCIL May 28, 2022
  • ADVERTISEMENT FOR SUPPLY, INSTALL, TEST AND COMMISSION THE LIGHT IN MVOMERO DISTRICT COUNCIL May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI AZUNGUMZA NA WATUMISHI

    August 25, 2023
  • MKUU WA WILAYA : FANYENI HAYA KUDHIBITI ATHARI ZA TEMBO

    August 24, 2023
  • MKUU WA WILAYA AZINDUA KAMPENI YA UMEZAJI DAWA ZA USUBI

    August 24, 2023
  • MKUU WA WILAYA AENDELEA NA ZIARA KATA ZA LUBUNGO, MELELA, MSONGOZI NA MANGAE

    August 24, 2023
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.