• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

TAWA, TANAPA WATOA ELIMU KWA WANANCHI KUJILINDA NA TEMBO

Posted on: November 9th, 2024

Katika juhudi za kupunguza athari za wanyama waharibifu hususan tembo Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wameendelea kutoa elimu kwa wananchi wa Kata ya Doma kuhusu namna ya kujikinga na madhara ya tembo katika maeneo yao.

Elimu hiyo imetolewa Novemba 09, 2024 na Maafisa wa TAWA na TANAPA katika Ofisi za Kijiji cha Maharaka ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima alilolitoa Oktoba 27, 2024 kwenye ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Ikulu (Kazi Maalum) Mhe. Kapt. Mstaafu George Mkuchika.

Akielekeza baadhi ya mbinu hizo Afisa Mhifadhi Wanyamapori TAWA Bw. Gilbert Magafu amebainisha mbinu mbalimbali zikiwemo za kitamaduni na kisayansi zinazoweza kutumiwa kuzuia tembo kuingia kwenye mashamba na makazi ya watu kama vile matumizi ya pilipili kama njia ya kuwafukuza, matumizi ya mifereji maalum na mabomu baridi.

Kwa upande wake Afisa Uhifadhi Mkuu David Kadomo kutoka Hifadhi ya Taifa ya Mikumi amesema elimu hiyo inamanufaa kwa wananchi ilikuhakikisha kuwa hawapati madhara yoyote. Ameongeza kuwa kuna Vijiji vinne ambavyo vinapakana na Hifadhi ya Taifa ya Mikumi kati ya hivyo Vijiji Vitatu Vinachangamoto kubwa ya tembo ambavyo ni Maharaka, Doma na Kijiji cha Mkata hata hivyo Serikali ilipeleka Vijana 10 kwa kila Kijiji kwenye mafunzo ya kufukuza tembo pamoja na kuwafundisha wananchi mbinu za kujilinda na tembo

Elimu hii pia inalenga kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu umuhimu wa kuheshimu na kutunza wanyamapori ili kuendeleza utalii wa ndani na kuchangia katika uchumi wa taifa.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.