• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

NGOs ZATAKIWA KUJIKITA KWENYE MBINU ZA KUENDELEZA MIRADI INAYOANZISHWA

Posted on: August 6th, 2025

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanayotekeleza miradi yake katika Wilaya ya Mvomero yametakiwa kujielekeza katika kutumia mbinu endelevu za utekelezaji wa miradi ili kuhakikisha matokeo chanya yanayodumu kwa muda mrefu katika jamii.

Wito huo umetolewa Agosti 6, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Maulid Dotto wakati wa Jukwaa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ambalo lililenga kutathmini mchango wa Mashirika hayo katika maendeleo ya taifa 2020/2021 - 2024/2025 kwa kuangazia mafanikio, changamoto, Fursa na matarajio.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa kwa kiasi kikubwa mashirika hayo yamekuwa na mchango mkubwa katika kuwaimarisha wananchi kiuchumi kupitia miradi waliyoianzisha katika maeneo mbalimbali Wilayani humo, huku akitumia fursa hiyo kuyapongeza Mashirika hayo.


Aidha, amesema kuwa baadhi ya miradi imekuwa ikitekelezwa kwa muda mfupi hasa miradi ya kuwainua vijana kiuchumi huku miradi mingine kufa baada ya mashirika hayo kukamilisha muda wa utekelezaji kutokana na ukosefu wa mbinu endelevu, hivyo ameyataka Mashirika hayo kujikita katika mbinu za kuendeleza miradi inayoanzishwa.


Hata hivyo Mhe. Maulid amebainisha baadhi ya mbinu ambazo zinaweza kusaidia miradi hiyo kuwa endelevu ikiwemo kushirikiana kwa karibu na jamii husika, serikali za mitaa na wadau wengine ili kuhakikisha miradi inayotekelezwa inaendana na mahitaji halisi ya wananchi na inaungwa mkono na wanufaika wake.


Ameongeza kuwa ni muhimu kwa NGOs kujikita kwenye kujenga uwezo wa jamii kujisimamia, kuwajengea stadi na maarifa, pamoja na kuweka mikakati ya upatikanaji wa rasilimali kwa ajili ya kuendeleza miradi hata baada ya ufadhili kuisha.


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Ndg. Paulo Faty amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira wezeshi ambayo yanaruhusu Mashirika yasiyo ya Kiserikali kutekeleza shughuli zake.


Naye, Mwenyekiti wa Baraza la umoja wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NACONGO) Mkoa wa Morogoro Bw. Otanamusu Masaoe amebainisha kuwa Wilaya ya Mvom

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.