• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Naibu Waziri - (OR- TAMISEMI), Aitembelea Mvomero

Posted on: August 5th, 2018

Naibu Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh. Joseph Kakunda amefanya ziara ya siku moja kutembelea wilayani Mvomero na kukagua maendeleo ya miradi ambayo  Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imekuwa ikitekeleza chini ya usimamizi wa Serikali tarehe 3 Agosti 2018.

Miradi ambayo imetembelewa ni pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Mvomero ambayo ujenzi wa jengo la Utawala umekamilika kwa asilimia 100 pamoja na Ujenzi unaoendelea wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumu ya Sokoine ambayo ujenzi wake pia unaendelea.

Awali akisoma taarifa kwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndg, Florent Kyombo amesema kwamba ujenzi wa Jengo la Utawala umekamilika na wanasubiri fedha kutoka serikalini ili waweze kuongeza baadhi ya majengo muhimu ili kusogeza huduma ya Afya kwa wananchi wa Mvomero na maeneo ya karibu.

Aidha kwa upande wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine Mkurugenzi amemuhakikishia Mheshimiwa Naibu Waziri kwamba wanategemea kukamilisha ujenzi wa shule hiyo mara tu baada ya kupokea fedha kutoka Serikalini na kwamba tayari ujenzi wa jengo la utawala pamoja na baadhi ya nyumba za walimu umekamilika huku wakijitahidi kukamilisha ujenzi wa madarasa, mabweni, bwalo la chakula pamoja na majengo mengine ili waweze kupokea wanafunzi wa kidato cha 5 kwa muda unaotakiwa.

Akikamilisha ziara hiyo Mheshimiwa Naibu Waziri amepongeza juhudi zinazoonyeshwa na uongozi wa  Wilaya hiyo kwa usimamizi mzuri wa miradi na ukamilishwaji wa miradi kwa gharama ambazo zinaleta tija. Ameahidi kwamba hivi karibuni Serikali italeta fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya pamoja na Shule ya kumbukumbu ya Sokoine kwani Serikali iliamua kujengashule  hiyo eneo hilo ili kuenzi mchango wa Hayati Edward Sokoine katika kuleta maendeleo kwa Watanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.