• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Naibu Waziri - (OR- TAMISEMI), Aitembelea Mvomero

Posted on: August 5th, 2018

Naibu Waziri Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mh. Joseph Kakunda amefanya ziara ya siku moja kutembelea wilayani Mvomero na kukagua maendeleo ya miradi ambayo  Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imekuwa ikitekeleza chini ya usimamizi wa Serikali tarehe 3 Agosti 2018.

Miradi ambayo imetembelewa ni pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Mvomero ambayo ujenzi wa jengo la Utawala umekamilika kwa asilimia 100 pamoja na Ujenzi unaoendelea wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumu ya Sokoine ambayo ujenzi wake pia unaendelea.

Awali akisoma taarifa kwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Ndg, Florent Kyombo amesema kwamba ujenzi wa Jengo la Utawala umekamilika na wanasubiri fedha kutoka serikalini ili waweze kuongeza baadhi ya majengo muhimu ili kusogeza huduma ya Afya kwa wananchi wa Mvomero na maeneo ya karibu.

Aidha kwa upande wa Shule ya Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine Mkurugenzi amemuhakikishia Mheshimiwa Naibu Waziri kwamba wanategemea kukamilisha ujenzi wa shule hiyo mara tu baada ya kupokea fedha kutoka Serikalini na kwamba tayari ujenzi wa jengo la utawala pamoja na baadhi ya nyumba za walimu umekamilika huku wakijitahidi kukamilisha ujenzi wa madarasa, mabweni, bwalo la chakula pamoja na majengo mengine ili waweze kupokea wanafunzi wa kidato cha 5 kwa muda unaotakiwa.

Akikamilisha ziara hiyo Mheshimiwa Naibu Waziri amepongeza juhudi zinazoonyeshwa na uongozi wa  Wilaya hiyo kwa usimamizi mzuri wa miradi na ukamilishwaji wa miradi kwa gharama ambazo zinaleta tija. Ameahidi kwamba hivi karibuni Serikali italeta fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Hospitali ya Wilaya pamoja na Shule ya kumbukumbu ya Sokoine kwani Serikali iliamua kujengashule  hiyo eneo hilo ili kuenzi mchango wa Hayati Edward Sokoine katika kuleta maendeleo kwa Watanzania.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

    April 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 7 YENYE THAMANI YA TSH. 1.06 WILAYANI MVOMRO

    April 13, 2025
  • DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

    March 27, 2025
  • KUU MVOMERO YAKISHUKURU KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA KWA KUSAIDIA WANANCHI KURUDISHA MTO KWENYE MKONDO WAKE

    March 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.