• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MVOMERO YAZINDUA ZOEZI LA UTOAJI ELIMU KWA JAMII KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

Posted on: September 16th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imezindua rasmi zoezi la utoaji elimu kwa wananchi wa Halmashauri hiyo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakao fanyika Novemba 27, 2024. Elimu hiyo inalenga kuwapa uelewa wananchi kuhusu mambo muhimu ya uchaguzi huo.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Septemba 16, 2024 Msimamizi wa Uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Mwl. Linno Mwageni amesema uchaguzi huo utahusisha Vijiji 180, Vitongoji 687 ambapo wananchi watachagua Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji pamoja na wajumbe wao huku akibainisha kuwa maandalizi ni mazuri.

Aidha, Mwl. Mwageni amesema Halmashauri hiyo imejiandaa vizuri ili kuhakikisha kuwa kila mwananchi anapata haki yake ya kikatiba ya kushiriki katika uchaguzi huo na kueleza kuwa zoezi la kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura litaanza rasmi Oktoba 11 hadi 20 mwaka huu.

Sambamaba na hilo, Mkurugenzi huyo ametaja vigezo vitakavyo zingatiwa wakati wa kujiandikisha vikiwemo anayejiandikisha awe ni raia wa Tanzania, awe na umri usio pungua miaka 18, awe ni mkazi wa Kijiji au Kitongoji husika na pia awe na akili timamu.

Katika hatua nyingine, Mwl. Mwageni amesema katika zoezi hilo la utoaji elimu litashirikisha wadau na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa Dini, Mila pamoja na Wazee Maarufu lengo ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata elimu kuhusu uchaguzi huo.

Kaulimbiu ya uuchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 inasema “Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitokeze kushiriki uchaguzi” 

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.