• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MVOMERO YAIBUKA MSHINDI WA TATU MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KWA MKOA WA MOROGORO

Posted on: August 8th, 2025

Kilele cha sherehe za Nanenane Kanda ya Mashariki kimefanyika leo tarehe 8 Agosti, 2025 katika viwanja vya Mwl. Nyerere yakihitimisha maonesho ya ubunifu na tecknolojia mbalimbali za kilimo, ufugaji na uvuvi.

Katika maonesho hayo Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imeibuka mshindi wa Tatu kwenye maonesho ya Nane nane Kanda ya Mashariki Mkoa wa Morogoro, mshindi wa kwanza kwa upande wa mfugaji bora ngazi ya Halmashauri na imeshinda mvuvi bora kutoka Mkoa wa Morogoro.


Bodi ya pamba pia imetoa zawadi kwa wakulima bora wa pamba waliofanya vizuri katika kilimo cha pamba kwa kuzalisha kilo nyingi za pamba ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imepata zawadi katika kipengele cha washindi wa kanda ya Morogoro.


Shiriki uchaguzi kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC MAULID DOTTO AANZA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • MVOMERO YAIBUKA MSHINDI WA TATU MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KWA MKOA WA MOROGORO

    August 08, 2025
  • VIWANJA VYA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI KUWA ENEO LA SOKO LA WAKULIMA

    August 08, 2025
  • NGOs ZATAKIWA KUJIKITA KWENYE MBINU ZA KUENDELEZA MIRADI INAYOANZISHWA

    August 06, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.