• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Mradi wa Mkaa Endelevu Ulivyobadili Maisha Ya Wananchi Wa Wilaya ya Mvomero

Posted on: November 21st, 2022

Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG) ambalo linaendesha mradi wa Mkaa Endelevu (TTCS) unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Uswisi (SDC) Mkoani Morogoro. Lengo likiwa ni kuhakikisha rasilimali misitu inakuwa endelevu. Mradi huo katika Wilaya ya Mvomero unatekeleza katika Vijiji vya Maharaka, Sewe Kipera, Msongozi, Ndole, Magunga, Kihondo, Diburuma, Masimba, Msolokelo na Misengele.

Akizungumza katika kikao na Waandishi wa habari kilichoitishwa na Mkurugenzi wa TFCG ili kuzungumzia manufaa ya mradi huo katika Vijiji vya Wilaya ya Mvomero, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Bibi. Mary M. Kayowa alisema kuwa mradi umesaidia wananchi kuwa na uelewa wa uhifadhi wa mazingira katika maeneo yao, mradi huo umewawezesha wananchi kupata kipato kutokana na mazao ya misitu wanayo miliki. Pia mkaa endelevu umewawezesha wananchi kulinda mazingira yao ili yasiweze kuharibiwa, mradi umesaidia katika kupeleka watoto Shule, kufanya shughuli za kilimo na biashara nyingine.

“Kutokana na faida hizo Menejimenti imeona itenge Bajeti ya Sh. Mill 10 kwa ajili ya kuanzisha mradi katika Vijiji vingine vya Njeula na Matale, pia tumepanga kuandaa Mfuko ili wafadhili pia waweze kuchangia”.

Afisa Misitu wa Wilaya ya Mvomero alieleza kuwa Halmashauri ilianza kutekeleza mradi huo mwaka 2015 ambapo walianza na kuandaa mpango wa uvunaji na kufanya tathmini katika maeneo ya Msongozi, Misengele, Maharaka na Msolokelo na baadae Ndole, Magunga na Masimba.

Mradi umesaidia kutangaza misitu ya Vijiji Vitano katika Gazeti la Serikali GN. N0.688 ya tarehe 28.08.2020.

“Kutokana na mradi huo hali ya misitu imeboreka kulingana na ilivyokuwa nyuma, baada ya kujengewa uwezo na usimamizi bora uelewa wa jamii umeboreka”.

Vijiji vimekuwa na uvunaji endelevu kwa kupishana, kupitia mradi huo Vijiji vimeimarisha uhifadhi wa misitu. Vijiji vimekuwa vinavuna misitu yao na kuweza kuuza ili kupa mapato. Pia wamefundishwa mbinu endelevu na kutumia mapato yao wameweza kujenga huduma za kijamii za ujenzi wa madarasa, Zahanati, vyoo vya Shule na barabara. Halmashauri imeona ni muhimu kuendeleza mradi huo kwani unanufaisha jamii na kutunza misitu.

Aidha Halmashauri imetenga fedha kwa ajili ya kuanzisha mradi katika Vijiji vya Njeula na Matale na kutoa elimu ili Vijiji viweze kuchangia 10% kwa ajili ya kusaidia mradi.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.