• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MKUU WA WILAYA AMSHUKIA MKANDARASI SKIMU YA UMWAGILIAJI MGONGOLA

Posted on: July 16th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amefanya ziara kukagua Mradi wa Umwagiliaji katika Bonde la Mgongola katika Kata ya Lukindo ili kujionea hatua ilipofikia mradi huo na kutoa maelekezo kadhaa juu ya ukamilishwaji wa mradi huo.

Mkuu wa Wilaya amemjia juu mkandarasi wa mradi huo na kuhoji kusuasua kwa ukamilishwaji wa mradi huo huku ikiwa imebakia miezi miwili tu kwa muda uliopangwa mradi huo kukamilika ufikiwe.

Amesema licha ya Rais Samia kuelekeza kiasi kikubwa cha fedha kuwapa wakulima wa Mvomero fursa ya kuwa ya kilimo , bado mradi huo unasuasua huku mradi huo ukifikia 41% pekee licha ya mkandarasi huyo kulipwa fedha na kukabidhiwa rasmi kuanza kutekeleza mradi huo kuanzia Septemba 7 mwaka 2022.

Katika ukaguzi wake Mkuu wa Wilaya amebaini kuwa mkandarasi huyo hana vifaa vya kutosha kukamilisha mradi huo, huku vifaa alivyonavyo ni duni na vibovu hivyo kuharibika mara kwa mara inayopelekea kutokamilishwa mradi kwa muda uliokusudiwa.

“Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameleta fedha nyingi sana kuongeza thamani ya Wakulima wa Mkindo na Wilaya ya Mvomero. Bilioni 5.6 sio fedha ndogo.Kuna watu wanataka kuhujumu maendeleo kwa kukwamisha skimu hii.” Alisema Mkuu wa Wilaya wakati akizungumza na Wanakijiji wa Kijiji cha Bungoma kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo.

Skimu ya Umwagiliaji ya Mgongola iliyopo kata ya Mkindo Wilayani Mvomero ni moja kati ya Skimu zilizopokea fedha jumla ya Shilingi Bilioni 15 kutoka Serikalini kumsaidia Mkulima kuwa na uhakika kwa kuvuna mazao ya kilimo  ikiwemo Rudewa (7.2 Bilioni), Idete (Bilioni 2.3 ).

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.