• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MKUU WA WILAYA AKABIDHI PIKIPIKI KWA AFISA ELIMU KATA KWEUMA

Posted on: May 5th, 2021

Mkuu wa Wilaya Mvomero Mh. Albinus Mugonya, leo amekabidhi pikipiki aina ya honda yenye thamani ya shilingi Mil. 4.5 kwa Afisa elimu kata wa kata ya Kweuma iliyopo Tarafa ya Turiani Ndg. Hamisi Iddi Hamisi kwa ajili ya ufuatiliaji wa maswala ya elimu katika kata hiyo.

Akizungumza katika hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Mh. Mkuu wa Wilaya amesema kuwa kutolewa kwa pikipiki hiyo ni Imani yake kuwa kutaboresha utendaji kazi wa Afisa huyo na kuleta ufanisi katika suala zima  la elimu kwani hapo awali kata hiyo ilikuwa haina chombo cha usafiri cha kumuwezesha Afisa huyo kutembelea shule zilizopo katika eneo lake na kushindwa kusimamia suala zima la kuboresha kiwango cha elimu katika kata hiyo.

Mh. Mkuu wawilaya amemtaka Afisa Elimu kata huyo kwenda kutumia usafiri huo kwa makusudi yaliyo kusudiwa na kuhakikisha anasimamia suala zima la uboreshaji wa Elimu katika kata hiyo kwani hapo awali alikuwa akishindwa kutekeleza majukumu yake na hivyo kusababisha kushindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa ya usimamiaji wa majukumu ya elimu na kusababisha kushuka kwa kiwango cha ufaulu katika kata hiyo.

Awali akitoa taarifa hiyo mbele ya Mkuu wa Wilaya kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Maajabu Nkanyemka, amesema tayari halmashauri imeshakabidhi jumla ya pikipiki 29 kwa Maafisa Elimu Kata katika kata 29 kati ya 30 zilizopo katikaHalmashauri hiyo na hivyo kukabidhiwa kwa pikipiki hiyo hii leo inakamilisha pikipiki 30 ambazo zote zimekabidhiwa kwa Maafisa Elimu Kata 30 wa kata zote ndani ya wilaya.

Kaimu mkurugenzi huyo amesema kuwa ni Imani yake sasa baada ya kukamilisha kugawa pikipiki zote 30 katika kata 30 kutawafanya Maafisa Elimu Kata hao kwenda kusimamia maswala ya elimu kwa ufanisi zaidi na hivyo kusababisha kupandisha kiwango cha ufaulu ndani ya wilaya na kusimamia maswala yote yanayohusu elimu.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.