• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MKUU WA MKOA MOROGORO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MVOMERO

Posted on: July 22nd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Martine Shigela ,Jana amefanya ziara Wilayani Mvomero kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani humo pamoja na kusikiliza keto za Wananchi.

Awali Mkuu huyo wa Mkoa ametembelea na kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya Dakawa na kuupongeza Uongozi wa Wilaya mpaka Kijiji kwa jinsi wanavyoonesha ushirikiano wa utekelezaji wa mradi huo.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema pindi mradi huo utakapokamilika utaleta tija kwa wananchi wa kata ya Dakawa na maeneo jirani.

Pia Mhe. Martine Shigela amewataka viongozi hao kuendeleza ushirikiano huo katika kusimamia miradi mingine ya maendeleo iliyopo katika maeneo mengine Wilayani humo .

Katika hatua nyingine Mhe. Mkuu wa Mkoa amefanya mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Kichangani kilichopo katika Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani kwa lengo kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi.

Miongoni wa kero hizo ni pamoja na bei ya chini ya zao la kokoa, upatikanaji hafifu wa maji na umeme katika Kata hiyo ,pamoja na upungufu wa nyumba za walimu na waganga katika Kata hiyo na Tarafa kwa ujumla.

Mkuu wa Mkoa ameagiza viongozi wote walioguswa na kero hizo kuhakikisha wanazitatua kwa haraka kero hizo ili wananchi waweze kufaidi matunda ya Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Halima Okash amemuahidi Mkuu wa Mkoa kusimamia yote aliyoagiza na kuhakikisha yanatekelezwa kwa wakati ili wananchi wa Mvomero waweze kupata maendeleo.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mvomero Mhe. Jonas Van Zeeland amesema kuwa yeye pamoja na uongozi mzima wa Wilaya ya Mvomero wamejipanga kuhakikisha wanasimamia miradi yote iliyotengewa pesa na kuhakikisha inatekelezwa kwa wakati pamoja na kutatua kero mbalimbali za wananchi Wilayani humo.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.