• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Mhe. Jafo afanya ziara kukagua Miradi ya Maendeleo Mvomero

Posted on: June 19th, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amefanya ziara Wilayani Mvomero katika muendelezo ya ziara anazozunguka nchi nzima kukagua maendeleo ya miradi iliyoelekezwa kuinua ustawi wa wananchi nchini.

Katika ziara hiyo, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametembelea Skimu ya Umwagiliaji katika Kijiji cha Lukenge kata ya Mtibwa inayofadhiliwa na Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia Mifumo Ikolojia Vijijini (EBARR) na pia alitembelea Kijiji cha Mingo kata ya Lubungo kukagua maendeleo ya ujenzi wa kisima cha maji safi.

Katika mradi wa Skimu ya umwagiliaji Kijiji cha Lukenge unaofadhiliwa na mradi wa EBARR chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais, aliagiza ukamilishwaji wa mradi huo ndani ya muda kwani ni kipindi kirefu sana kimepita bila mradi kukamilika huku serikali ikiwa imetoa fedha kwa asilimia 100 na kuagiza uongozi wa Mkoa usimamie hili swala.

Aidha katika ujenzi wa kisima katika Kijiji cha Mingo, Mhe. Dkt. Selemani Jafo aliridhishwa na utekelezaji wake huku akitoa maelekezo kwa wataalamu kutoka Wakala wa Maji Vijijini na Mijini (RUWASA) kuhakikisha ifikapo Juni 28 mwaka huu kisima hiko kiwe kimekamilika kwa asilimia 100 ili uweze kuleta tija kwa wananchi katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

Kwa upande wa Kijiji cha Mingo, akiongea kwa niaba ya wananchi wa eneo hilo,  Mwenyekiti wa Kijiji hiko Bw. Rashid Kibukila aliishukuru Serikali kupitia ofisi ya Makamu wa Rais kwa kuwaletea mradi huo kwani ni muhimu katika usatawi wa maisha ya wananchi.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI SENSA July 19, 2022
  • Tangazo la Usaili wa Mahojiano Utakaofanyika 21/10/2021 October 20, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA YA MUDA ANWANI ZA MAKAZI February 18, 2022
  • TANGAZO KUITWA KWENYE USAILI MFUMO ANWANI ZA MAKAZI March 07, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mhe. Mkuu wa Wilaya afanya ziara Kijiji cha Kunke kusikiliza kero za wananchi

    August 04, 2022
  • MVOMERO WAADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA KWA KUFANYA USAFI

    July 26, 2022
  • MKUU WA MKOA MOROGORO AFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MVOMERO

    July 22, 2022
  • MHE. PROF JOYCE NDALICHAKO AFANYA ZIARA KIWANDA CHA NYAMA MVOMERO

    July 21, 2022
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.