• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

KAMPENI YA UTOAJI MATONE YA VITAMINI A, DAWA ZA MINYOO YAZINDULIWA DC MVOMERO ASEMA NI MUHIMU KATIKA UKUAJI WA MTOTO

Posted on: June 20th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Judith Nguli amezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya utoaji wa matone ya vitamini A na dawa za minyoo kwa watoto walio chini ya miaka 5 akisisitiza kuwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha watoto wanakua kwa afya bora na kuepuka udumavu.

Uzinduzi huo umefanyika Juni 20, 2025 katika Hospitali ya Wilaya ya Mvomero ukihusisha mamia ya wazazi waliowaleta watoto wao kupata huduma hiyo.

Akizungumza na wananchi, Mhe. Nguli amesema utoaji wa vitamini A husaidia kuongeza kinga ya mwili kwa watoto, huku dawa za minyoo zikisaidia kupambana na magonjwa ya tumbo yanayoathiri afya na maendeleo ya mtoto.


Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya amewataka wazazi kushiriki kikamilifu katika kampeni hiyo inayolenga kuwafikia watoto wenye umri wa miezi 6 hadi miaka 5 ambayo inatolewa katika vituo vya kutolea huduma za Afya.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo amesema utoaji wa matone ya vitamini A pamoja na dawa za minyoo ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM 2020/2025 ambayo inaelekeza Serikali kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za afya.


Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Dkt. Phillipina Phillipo amesema kampeni hiyo inatekelezwa kwa siku 30 ambapo ilianza tarehe 1 mwezi huu katika vituo 75 vya kutolea huduma za afya.


Kampeni ya utoaji wa vitamini A na dawa za minyoo hufanyika mara mbili kila mwaka mwezi wa 6 na 12 kuanzia tarehe 1 hadi 30 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Lishe na Afya ya Mtoto.


Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • DC MVOMERO ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE MPYA YA KATA YA MKINDO

    August 15, 2025
  • DC MVOMERO AKAGUA MIRADI YA BARABARA TARAFA YA MGETA

    August 14, 2025
  • DC MAULID DOTTO AANZA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    August 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.