• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

KAMPENI YA TUTUTNZANE YAHAMASISHA UFUGAJI WA KISASA MVOMERO

Posted on: January 25th, 2025

Kampeni ya Tutunzane, ambayo inalenga kuimarisha maelewano na ustawi kati ya wakulima na wafugaji, sasa imeanza kuhimiza matumizi ya mbinu za kisasa za ufugaji katika Wilaya ya Mvomero. Kampeni hiyo pia imevutia wafugaji wengi na kuwapatia elimu juu ya faida za kuachana na mifumo ya ufugaji wa kuhamahama na badala yake kutumia mbinu za kisasa zinazoongeza tija na kupunguza migogoro ya ardhi.

Hayo yamebainishwa Januari 25, mwaka huu na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli akizungumza na Viongozi pamoja na Wananchi kwenye mkutano wa mafanikio ya miaka miwili ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Wilayani humo uliofanyika katika viwanja vya shule ya Msingi Mvomero.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa kampeni hiyo imekuwa mkombozi wa wafugaji hususan wakati wa kiangazi ambapo wafugaji wamehamasika kumiliki ardhi, kulima malisho kuchimba visima ili kuendelea kuwa na uhakika wa malisho ya mifugo yao kwa vipindi vyote vya mwaka.

Aidha, ameongeza kuwa kwa wakulima waishio karibu na hifadhi wamehamasika kulima mazao ambayo ayaharibiwi na wanyama kama tembo likiwemo zao la ufuta, jambo hilo limechangia kuongeza vipato kwa wakulima hao kupitia uzalishaji wa ufuta.

Sambamba na hilo, Mhe. Nguli amesema  Rais Samia ataendelea kutoa mbegu kwa ajili ya mashamba 1200 ya wafugaji pamoja na uchimbaji wa visima 5 vya wafugaji na visima 64 kwa ajili ya wakulima.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi - CCM Wilaya ya Mvomero Mhe. Michael Jaka amesema kuanzishwa kwa Kampeni ya Tutunzane Mvomero ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ambapo chama kimeielekeza serikali kutafuta ufumbuzi wa migogoro ya wakulima na wafugaji huku akimpongeza Mkuu wa Wilaya kwa kampeni hiyo matokeo yake yanaonekana kwa vitendo.

Naye, Mbunge wa Jimbo la Mvomero Mhe. Jonas Van Zeeland amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kuja na wazo la kampeni hiyo ambayo sasa mvomero imekuwa mfano wa utatuzi wa migogoro  ya wakulima na wafugaji hapa nchini.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.