• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

KAMATI YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI BUNDUKI.

Posted on: February 20th, 2024

KAMATI YA TAMISEMI YARIDHISHWA NA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI BUNDUKI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Bunduki unaotekelezwa na Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitiia mradi wa SEQUIP.

Akizungumza Februari 20, 2024 Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Denis Londo wakati wa ukaguzi wa miradi ya elimu Wilayani Mvomero, amesema Kamati imeridhishwa na Uongozi wa Shule ya Sekondari Bunduki kwa jinsi ilivyowajibika katika usimamizi wa mradi huu na aliwapongeza walimu wanaofanya kazi katika Shule hiyo kwa kujitoa licha ya mazingira magumu wanayopitia ikiwemo umbali wa maeneo wanayokaa hadi kufika Shuleni.

 “tunaondoka na picha ya Bunduki kuwa ni Bunduki kweli kweli”. Hivyo Mwenyekiti alisema

Kamati pia imeupongeza Uongozi wa Shule kwa kuwa na Mwalimu wa kujitolewa wa somo la Kiingereza kutoka nchini Norway ambae amekuwa akiwafundishi wanafunzi hao na kufanya wanafunzi hao kuwa na interaction ambazo zinasaidia kuongeza uelewa.

Katika hatua nyingine Kamati imemtaka Diwani wa Kata hiyo Mhe. Prosper Mkunule afanye kikao na wananchi kuhamasisha kuleta wanafunzi Shuleni hapo ili kuongeza idadi ya wanafunzi kwani elimu ni bure na kwa idadi ya walimu tisa kwa wanafunzi 185 waliopo shuleni hapo ukilinganisha na maeneo mengine yaliyopo mbali na barabara Bunduki ina nafuu.

Awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Mwl. Linno P. Mwageni amesema Halmashauri imepokea Sh. Million 30,000,000 kwa ajili ya umaliziaji wa Maabara ya Fizikia, Kemia na Baiolojia na kwamba majengo hayo yamekamilika na kuanza kufanya kazi.

Aidha, Mkurugenzi huyo ameipongeza Serikali ya Awamu ya sita kwa kutenga Bajeti kwa ajili ya umaliziaji wa maabara hizo ambazo zimekuwa chachu kwa wanafunzi kujifunza masomo ya Sayansi na kufanya mazoezi kwa vitendo.

Kwa upande wake, Diwani wa Kata hiyo ya Bunduki Mhe. Prosper Mkunule ameshukuru kwa ushirikiano unaotolewa na Mhe. Mbunge na Viongozi wa Halmashauri katika kipindi cha utekelezaji wa mradi. Pia aliomba Kamati itakapokwenda Wizarani waangalie kwa jicho la kipekee kiasi cha fedha kinacholetwa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi kuwa na uwiano sawa kwa Kata za mjini na Kata za pembezoni, hali inayopelekea ugumu katika kutekeleza miradi hiyo.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.