• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

KAMATI YÀ FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YAKAGUA MIRADI YA ELIMU, AFYA YATOA MAAGIZO

Posted on: February 10th, 2025

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero leo Februari 10, 2025 imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya elimu na afya katika Kata za Mgeta, Mlali na Dakawa kwa lengo la kujiridhisha na utekelezaji wake pamoja na kutoa maelekezo kwa wahusika ili kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.

Ziara hiyo imehusisha ukaguzi wa miradi ya ujenzi ikiwemo ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa, Bweni moja na matundu 13 ya vyoo katika shule ya Sekondari Mgeta, vyumba viwili vya madarasa yaliyojengwa kwa nguvu ya wananchi katika shule ya msingi Mkuyuni katika Kata ya Mlali. Pia Kamati hiyo imetembelea zahanati ya kijiji cha Milama iliyopo katika Kata ya ya Dakawa.

Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mhe. Christopher Maarifa, kwa niaba ya wajumbe wa kamati hiyo  ameutaka uongozi wa shule ya sekondari Mgeta kuhakikisha kuwa viti na meza kwa ajili ya wanafunzi vinapatikana.

"...msitake vyombo viwafuatilie sijui PCCB au nini hatujafikia huko...mfanye mnavyoweza muhakikishe vitu vyetu vyote vipo ndani..." amesema Mhe. Maarifa.

Aidha, Kamati hiyo imetembelea na kukagua ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa katika shule ya Msingi Mkuyuni yaliyojengwakwa nguvu za wananchi na hatua iliyofikiwa ni kupaua.


Katika hatua nyingine, Kamati hiyo imekagua jengo la  Zahanati ya kijiji cha Milama na kumuagiza  Mhandisi wa Halmashauri hiyo kufanya tathmini ya  gharama zitakazo hitajika ili kufanya ukarabati wa zahanati hiyo pamoja na ujenzi wa zahanati mpya.


MWISHO

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

    April 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 7 YENYE THAMANI YA TSH. 1.06 WILAYANI MVOMRO

    April 13, 2025
  • DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

    March 27, 2025
  • KUU MVOMERO YAKISHUKURU KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA KWA KUSAIDIA WANANCHI KURUDISHA MTO KWENYE MKONDO WAKE

    March 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.