• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DED MVOMERO AKAGUA UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA, ELIMU ASISITIZA UBORA

Posted on: July 23rd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Ndg. Paulo Faty amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika sekta ya afya na elimu, ambapo amesisitiza suala la ubora na matumizi sahihi ya fedha za Serikali katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Akizungumza wakati wa ukaguzi huo Julai 23, 2025 katika Kata ya Dakawa, Mkurugenzi huyo amesema miradi ya maendeleo inapaswa kutekelezwa kwa kuzingatia thamani halisi ya fedha (value for money), ubora wa kazi na kukamilika kwa wakati.


Katika sekta ya afya, Ndg. Paulo Faty amekagua ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa nje (OPD) katika Hospitali ya Wilaya, ujenzi wa Kituo cha Afya Dakawa na ukarabati wa zahanati ya kijiji cha Milama pamoja na ujenzi wa miundombinu ya maji safi ambayo inahusisha vyooo matundu matatu, kinawia mikono pamoja na shimo la majivu katika Zahanati ya Wami Dakawa.


Aidha, kwa upande wa sekta ya elimu, ametembelea ukarabati wa vyumba vitano vya madarasa na ujenzi ujenzi wa vyumba viwili vya viwili katika shule ya Msingi Msasani ambapo wananchi kwa kushirikiana na shirika la SAWA Wanawake Tanzania wamewezesha mradi huo.


Sambamba na hilo Mkurugenzi Mtendaji huyo amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na Serikali kwa kutoa ushirikiano katika miradi yote inayoletwa na Serikali na wadau wa maendeleo, akisema maendeleo ya kweli yanahitaji ushiriki wa wananchi.


Kwa upande wao, baadhi ya wananchi na viongozi wa vijiji walimpongeza Mkurugenzi huyo kwa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa miradi hiyo, wakisema hatua hiyo inawapa imani juu ya dhamira ya Serikali ya kuboresha maisha ya wananchi wa Mvomero.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.