• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC NGULI AZINDUA MABIRIKA YA KUNYWESHEA MIFUGO, ASEMA YANAAKISI UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA TUTUNZANE

Posted on: June 18th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Judith Nguli, amezindua rasmi mabirika ya kunyweshea mifugo katika Kijiji cha Kibaoni Kata ya Melela huku akieleza kuwa mradi huo unaakisi kwa vitendo kampeni ya Tutunzane inayolenga kutatua migogoro ya wafugaji na wakulima kwa kuimarisha upatikanaji wa malisho na maji kwa ajili ya mifugo hususan wakati wa kiangazi.

Akizungumza Juni 18, 2025 wakati wa uzinduzi huo, Mhe. Nguli amesema kuwa mabirika hayo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuondoa migogoro ya wafugaji na wakulima kuhakikisha wafugaji wanapata huduma bora kwa mifugo yao, hasa katika maeneo yanayokabiliwa na changamoto za upatikanaji wa maji na malisho.


Aidha, amewataka wafugaji kuyatunza mabirika hayo na kuhakikisha yanatumika kama yalivyokusudiwa ili kuepuka migogoro ya mara kwa mara kati ya wafugaji na wakulima hasa wakati wa kiangazi.


Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la WamiRuvu Mhandisi Elibariki Mmasi amesema kuwa ili kutimiza adhma ya Serikali ya utunzaji wa mazingira pamoja utekelezaji wa Kampeni ya Tutunzane Mvomero ujenzi wa mabirika hayo utanufaisha mifugo 669000 na kaya 19389.


Aidha, ameongeza kuwa Bodi hiyo imekamilisha uandaaji wa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika vijiji vinne ambapo jumla ya hati za mfano 400 zimeandaliwa.


Naye, Mkurugenzi Msaidizi kutoka Wizara ya Maji Bi. Rosemary Rwebugisa amesema kuwa Wizara ya Maji imekuwa ikitekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020/2025 ambapo imeelekeza kuwa ifikapo mwaka 2025 upatikanaji wa maji maeneo ya Vijijini ufikie asilimia 85 na mijini asilimia 95 huku akibainisha kuwa hadi sasa upatikanaji wa maji Vijijini umefikia asilimia 83.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.