• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC NGULI ATOA POLE KIFO CHA DIWANI KATA YA MTIBWA, AWATAKA WATENDAJI WA KATA, VIJIJI KUSIMAMIA MAENDELEO YA KATA.

Posted on: August 27th, 2024

Kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Mtibwa Mhe. Majaliwa Kayanda kilichotokea Agosti 26, mwaka huu, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli ametoa maelekezo kwa Wenyeviti wa Vijiji pamoja na Watendaji wa Vijiji kuhakikisha kuwa wanaisimamia kwa karibu kata hiyo kama ambavyo diwani huyo alivyokuwa akiwajibika wakati wa uhai wake.

Mhe. Nguli ametoa maelekezo hayo Agosti 27, 2024 wakati akitoa salamu za pole kwa niaba ya Serikali kwenye mazishi ya Diwani wa Kata hiyo ya Mtibwa yaliyofanyika katika Kata hiyo.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kifo cha Diwani huyo ni pengo hususan katika utendaji huku akitokea maelekezo kwa Wenyetivi wa Vijiji na Watendaji wa Vijiji kusikiliza wananchi na kutatua kero zao wakati Serikali ikifanya utaratibu wa kuziba pengo hilo.

“…nitoe maelekezo kwao kuendelea kuingalia Kata kwa macho ya karibu sana kama ambavyo Mhe. Diwani alikuwa akiiangalia…” amesema Mkuu wa Wilaya.

Aidha, Mhe. Nguli amebainisha kuwa mafanikio ya Halmashauri hiyo ni kutokana na kazi kubwa inayofanywa na Wahe. Madiwani akiwemo diwani wa Kata hiyo ya Mtibwa huku akisema kuwa Mhe. Majaliwa Kayanda amekuwa akipigania kuhakikisha anatatua changamoto za wananchi wa Kata hiyo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mvomero Mhe. Yusuf Makunja ameiasa jamii kupendana hususan kipindi ambacho watu wote wapo hai.

Mhe. Majaliwa amezikwa katika makaburi ya familia yaliyopo katika Kata hiyo ya Mtibwa. Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.