• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MVOMERO AZINDUA MNADA WA MBAAZI UNAOFANYIKA KIELEKTRONIKI, AAHIDI 'KULA SAHANI MOJA' NA WANAOCHEPUSHA MAPATO

Posted on: August 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amesema ataendelea kuwachukulia hatua wafanyabiashara wanao kwepa kulipa kodi hii ni kutokana na kutofuata taratibu wakati wa kununua mazao kutoka kwa wakulima ikiwemo matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani.

Mhe. Nguli ametoa kauli hiyo Agosti 27, 2024 wakati akizindua Mnada wa kwanza wa Mbaazi kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani uliofanyika kwenye ghala lililopo katika Kata ya Sungaji, Kijiji cha Mbogo.

Mkuu huyo wa Wilaya amebainisha kuwa Halmashauri hiyo kupitia Baraza la Madiwani liliazimia mazao ya Ufuta, Alizeti, Mbaazi na Korosho yauzwe kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani lengo ni kuwainua wakulima ambao wanatumia gharama kubwa kwenye kilimo wakitarajia kupata faida.

“...na mimi nitaendelea kuyakamata magari yanayo torosha mbaazi, tena nitayakamata pasipo huruma...” amesema Mkuu wa Wilaya.

Aidha, amesema Serikali inatekeleza maelekezo ya Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ibara ya 34 ambapo imeelekeza mazao yote ya kimkakati yaingizwe kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani ili kumuinua mkulima.

Naye Afisa Kilimo wa Kata ya Sungaji Bw. Clemence Kakuo amesema mfumo huo unalenga kuwaondoa walanguzi ambao wamekuwa wakinufaika kwa kununua mazao ya wakulima kwa shillingi 30,000 kwa debe huku wao wakiuza kwa bei ya juu hivyo amesema kupitia mnada huo mkulima anatarajia kupata shillingi 40,000 kwa debe.

Ameongeza kuwa hadi kufikia Agosti 27, 2024 jumla ya tani 95 ambazo zinatarajiwa kuuzwa kwa njia ya kielektroniki ambapo wanunuzi na bei ya mazao yatafanyika kwa njia ya mtandao.


MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.