• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MVOMERO AZIAGIZA TANROADS, TARURA KUFANYA MABORESHO MAENEO KOROFI

Posted on: May 18th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli ameiagiza Wakala ya Barabara Tanzania - TANROADS na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini – TARURA Wilayani humo kuhakikisha kuwa wanafanya marekebisho miundombinu ya barabara ambazo zimeathiriwa na mvua zilizonyesha hivi karibuni.

Mhe. Nguli ametoa agizo hilo Mei 18, 2024 wakati akikagua barabara zilizoathiriwa na mvua katika Tarafa ya Mvomero ikiwa ni muendelezo kwa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za Wananchi Wilayani humo.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema barabara ya Makuyu kuelekea Kijiji cha Kibati ina umuhimu kwa uchumi wa Halmashauri na kwa wananchi kwa kuwa wanategemea barabara hiyo kusafirisha mazao yao kupeleka sokoni na pia barabara hiyo ni muhimu katika upatikanaji wa huduma za jamii kwa wananchi wa Vijiji vya Kibati, Ndole, Maskati na vijiji vingine. Hivyo amewataka Mameneja wa TARURA na TANROADS kuhakikisha kuwa maeneo korofi yanarekebishwa.

“...hawa wananchi kilichokuwa kwao kikubwa ni mazao, usafiri na huduma za afya... anapokwama kwenye barabara amekuwa amekwama kila kitu...” amesema Mkuu wa Wilaya.

Aidha, amewataka kuhakikisha kuwa Mkandarasi atakaye tekeleza zoezi la marekebisho hayo anakamilisha kwa wakati ili wananchi waendelee na shughuli zao kama ilivyokuwa awali.

Katika hatua nyingine, Mhe. Judith Nguli alitembelea mradi wa ujenzi wa jengo la Mama na Mtoto katika Zahanati ya Wami Dakawa ambapo aliiagiza kamati inayosimamia ujenzi huo kuhakikisha kuwa mafundi wanakamilisha kwa wakati ili wananchi waanze kupata huduma za mama na motto.

MWISHO.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.