• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

Posted on: March 27th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Judith Nguli ameagiza usajili wa Shule Shikizi katika kijiji cha Mingo ukamilike haraka ili iweze kupokea wanafunzi kuanzia Januari 2026.


Agizo hilo limetolewa Machi 27, 2025 wakati wa ziara yake katika Kijiji cha Mingo iliyolenga kutoa hamasa ya mapokezi ya mwenge wa uhuru 2025 pamoja na kusikiliza na kutatua kero za wananchi.


Mkuu huyo wa Wilaya amewapongeza wananchi wa Kijiji hicho kwa kujitoa kujenga shule hiyo ambapo hadi sasa vyumba sita vya madarasa vimekamilika hivyo amemuagiza Kaimu Afisa Elimu ya Awali na Msingi kubadili matumizi badala ya kuongeza chumba cha darasa wajenge Vyoo ili shule hiyo isajiliwe na kupokea wanafunzi ifikapo Januari 2026.


"...hiyo ela yako hiyo ni vyoo, kuja kusajili hakuna kujenga tena boma hapa...mwakani mwezi wa kwanza shule ianze haya ni maagizo yangu..." amesema Mkuu wa Wilaya.


Kwa upande wake Kaimu Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Mwl. Gideon Shangweni amesema kuwa Halmashauri imepeleka idadi ya maboma yanayohitaji kumaliziwa kwa fedha kutoka serikali kuu kwa bajeti ya 2025/2026 ambapo kila shule yenye boma taarifa zake zimepelekwa Serikalini kwa ajili ya umaliziaji. Aidha, ameongeza kuwa jumla ya shule tatu ambazo zimechakaa zimetengewa bajeti ambapo shule ya msingi Mafuru, Chohero na Luale zitarekebishwa.


Awali Mwenyekiti wa Kitongoji cha Vianzi

akiwasilisha kero ya uwepo wa boma moja katika shule ya msingi Mwenge Kichangani amesema boma hilo lina zaidi ya miaka mitatu hivyo ameiomba Serikali kusaidia umaliziaji wa boma hilo huku akisema kuwa shule hiyo inajumla ya madarasa matano hadi sasa.


Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

    April 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 7 YENYE THAMANI YA TSH. 1.06 WILAYANI MVOMRO

    April 13, 2025
  • DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

    March 27, 2025
  • KUU MVOMERO YAKISHUKURU KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA KWA KUSAIDIA WANANCHI KURUDISHA MTO KWENYE MKONDO WAKE

    March 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.