• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MAULID DOTTO AWAPONGEZA WAKUU WA TAASISI, IDARA NA VITENGO, AWATAKA KUONGEZA UWAJIBIKAJI KUYAFIKIA MALENGO

Posted on: July 14th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Maulid Dotto, amewapongeza Wakuu wa Taasisi, Idara na Vitengo kwa juhudi kubwa wanazozionesha katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku, hali iliyosaidia kuimarisha utoaji wa huduma kwa wananchi wilayani humo.


Akizungumza Julai 14, 2025 katika kikao kazi kilichowakutanisha viongozi hao, Mhe. Dotto amesema kazi nzuri inayoendelea kufanywa na watendaji hao ni ishara ya kujituma na kuipenda kazi, huku akisisitiza kuwa kuna haja ya kuongeza kasi ya uwajibikaji ili kuyafikia malengo ya maendeleo kwa ufanisi zaidi.


“...niwapongezeni kwa utekelezaji wa majukumu yenu yaliyowezesha kuleta matokeo chanya katika utendaji wa kazi zenu wito wangu kwenue mtupe ushirikiano ili tuweze kuyakamilisha yale ambayo yameachwa na watangulizi wetu..." amesema Mhe. Dotto.


Aidha, amewataka viongozi hao kuhakikisha matumizi ya rasilimali za umma yanazingatia uadilifu na thamani halisi ya fedha, huku akiweka wazi kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ina matarajio makubwa kwa viongozi wa ngazi zote katika kufanikisha ajenda ya maendeleo jumuishi.


Awali, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Ndg. Paulo Faty akitoa taarifa ya maendeleo ya Halmashauri hiyo amesema kuwa Halmashauri hiyo inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia fedha kutoka Serikali kuu pamoja na mapato ya ndani huku akibainisha kuwa inaendelea kusimamiwa ili iweze kutoa huduma iliyokusudiwa kwa wananchi.


Kwa upande wao baadhi ya watendaji waliopata fursa ya kutoa maoni yao akiwemo Bw. Karim Kanyamala amempongeza Mkuu huyo wa Wilaya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan huku akisema kuwa maelekezo aliyoyatoa watayafanyia kazi ili kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.