• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MAULID AKABIDHIWA KAMPENI YA TUTUNZANE MVOMERO KUINDELEZA

Posted on: July 2nd, 2025

Mkuu mpya wa Wilaya ya Mvomero, Mhe. Maulid Dotto, amekabidhiwa rasmi jukumu la kuendeleza Kampeni ya Tutunzane Mvomero inayolenga kuondoa migogoro ya wafugaji na wakulima pamoja na kuimarisha uchumi wa wananchi waishio kwenye maeneo yanayoathirika na wanyama waharibifu kama vile tembo.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo yaliyofanyika Julai 2, 2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya hiyo Mhe. Judith Nguli aliyekuwa Mkuu wa Wilaya amesema kuwa aliipokea Wilaya hiyo ikiwa na changamoto kubwa tatu zikiwemo migogoro ya wakulima na wafugaji, migogoro ya ardhi pamoja na wanyama waharibifu.

Aidha, ameongeza kuwa katika kutatua changamoto hizo alibuni Kampeni ya "Tutunzane Mvomero" ambayo imeletea matokeo chanya kwani changamoto hizo kwa kiasi kikubwa zimepungua, hivyo ameikabidhi kampeni hiyo mikononi mwa Mhe. Maulid Dotto ili kuendeleza pale alipoishia.


"...kwa hiyo Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Kampeni hii nakukabidhi nakuomba uendelee hapo nilipoishia mimi inawezekana ukafanya vizuri zaidi kuliko nilivyofanya mimi..." amesema Mhe. Judith Nguli.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Maulid Dotto amemshukuru Mhe. Judith Nguli kwa mapokezi mazuri na miongozo tangu siku ya kwanza ya uteuzi wake huku akiahidi kuwa ataendeleza mazuri ya mtangulizi wake akiwataka watumishi kumpatia ushirikiano ili kuyafikia mafanikio yaliyokusudiwa.


Akitoa neno la shukrani kwa niaba ya watumishi wa Wilaya ya Mvomero Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Dkt. Phillipina Phillipo amesema katika kipindi cha uongozi wa Mhe. Judith Nguli alisimamia ukusanyaji wa mapato ambapo hadi kufikia Juni 29, 2025 mapato hayo yamefikia asilimia 102. Aidha, amemkaribisha Mhe. Maulid Dotto huku akiahidi ushirikiano ili kuhakikisha kuwa Mvomero inavushwa kwenda mbele.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.