• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC AKEMEA MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA SERIKALI

Posted on: June 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amekema vikali wanaotumia fedha za Serikalia vibaya. Ameyasema hayo alipotembelea Shule ya Msingi Lugono na Shule ya Msingi Tangeni ambapo amezitaka Mamlaka husika kulifuatilia suala hilo. Aidha Mkuu huyo wa Wilaya ametoa maagizo ya kuvunjwa kwa Kamati ya ujenzi ya Shule ya Tangeni na kuagiza wananchi wapewe taarifa kuhusu suala hilo, “TAKUKURU ifuatilie suala hilo kwa kufanya uchunguzi, Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri afanye ukaguzi wa fedha zote zilizoletwa na mradi wa BOOST na kusitisha matumizi ya “open cheque” kwa Shule zote mpaka watakapofanya marekebisho”.

Aidha Mkuu wa Wilaya akatoa maagizo ya kukamatwa kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Lugono Shabani Mpili kwa tuhuma ya ubadhilifu wa fedha za Serikali. Pia aliagiza mamlaka za nidhamu imchukulie hatua za kisheria mwalimu huyo.

Alimpongeza Mwenyekiti wa Kijiji Ndg. Robert Selestine kwa kutoa taarifa mapema na aliwataka Walimu wawe wanatoa taarifa za ubadhilifu mapema wanapogundua kuna viashiria vya uhalifu na kuwataka kuzingatia maelekezo ya fedha za utekelezaji wa miradi.

Katika hatua nyingine Mhe. Diwani wa Kata ya Mzumbe Mhe. Godfrey Lumongolo alimwomba Mkuu wa Wilaya kufanya uhamisho wa Walimu ili kuepusha sintofahamu ambazo zinaweza kujitokeza mara kwa mara huku akimpongeza Afisa Elimu Wilaya kwa jitihada alizochukua awali kumhamisha Mwalimu huyo kutoka kituo chake cha awali. Pia Mhe. Diwani alionyesha kutofurahishwa na mwenendo wa Kamati ya Shule hiyo huku akishauri ijali zaidi maslahi ya wanafunzi ili kuongeza ubora wa taaluma Shuleni hapo.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.