• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

CHMT MVOMERO YAONGEZWA USIMAMIZI HUDUMA ZA AFYA, DED LINNO ATOA WITO MIRADI IKAMILIKE KWA WAKATI

Posted on: November 20th, 2024

Katika kikao maalum cha tathmini ya maendeleo ya sekta ya afya Wilayani Mvomero kwa Mwezi Novemba 2024, Timu ya Usimamizi na Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri (CHMT) imepongezwa kwa jitihada zake za kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Pongezi hizo zimetolewa Novemba 20, 2024 na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Mwl. Linno Mwageni wakati akifungua kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya ambacho kilienda sambamba na kukabidhi vyeti vya pongezi kwa baadhi ya wajumbe wa timu hiyo.

Mkurugenzi huyo ameelezea kuridhishwa kwake na utendaji wa timu hiyo ambapo utendaji kazi huo umechangia kuleta mafanikio katika sekta ya Afya ndani ya Halmashauri hiyo huku akiweka msisitizo juu ya kusimamia miradi ya sekta ya afya ili ikamilike kwa wakati kuendelea kuwahuduma

"...najisikia amani kwa sababu kwanza mipango yenu mnayoipanga mnaitekeleza kwa wakati, sasa niwatie shime muendelee hivyo hivyo..." amesema Mwl. Linno.

Aidha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya viongozi wa halmashauri, wananchi, na wadau wengine wa maendeleo katika kuhakikisha malengo ya serikali ya kuboresha huduma za afya yanafanikiwa.

Pamoja na pongezi hizo, Mwl. Linno ameelekeza CHMT kutoa elimu ya kujikinga na magonjwa ya tumbo na kuhara hususan katika kipindi cha mvua ikiwemo kuwaelimisha wananchi kunawa mikono, kuchemsha maji pamoja na kuyatibu.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt. Philipina Philipo wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya timu hiyo wameahidi kufanyakazi kwa bidii ili kuboresha utoaji wa huduma za afya katika Wilaya hiyo.

MWISHO.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO KUENDELEZA KASI YA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA GoT-HoMIS KWENYE VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

    May 09, 2025
  • MOROGORO YAJA NA MKAKATI KUSHUGHULIKIA MADAI YA WAFANYAKAZI

    May 01, 2025
  • DC NGULI ATIMIZA AHADI YA KUGHARAMIA MATIBABU YA KIJANA RAMADHANI MOHAMED

    April 28, 2025
  • WANANCHI WATAKIWA KUWAPUUZA WANAOCHOCHEA UVUNJIFU WA AMANI

    April 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.