• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

WANAWAKE MVOMERO WATAKIWA KUTAMBUA NAFASI ZAO

Posted on: March 5th, 2025

Wanawake wa wilaya ya Mvomero wamehamasishwa kutambua na kuthamini nafasi zao muhimu katika jamii kwa kuwa wana mchango mkubwa katika maendeleo ya familia na taifa kwa ujumla.

Wito huo umetolewa Machi 5, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli wakati wa maadhimisho ya Siku ya kimataifa ya Wanawake ambayo kiwilaya yamefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri yakiwa na kaulimbiu isemayo "Wanawake na Wasichana 2025; Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji".


Akizungumza katika maadhimisho hayo, Mhe. Nguli amesema kuwa wanawake wanahitaji kutafakari na kutambua nafasi zao katika jamii kuanzia ngazi ya familia na hata taifa hii itawasaidia kujiamini katika kutekeleza majukumu yao ipasavyo.


"...tunatakiwa kujitafakari kama wanawake...sisi wanawake nafasi yetu ni ipi...tukijitafakari tutaona nafasi yetu ni ikowapi..." amesisitiza Mkuu wa Wilaya.


Aidha, Mkuu huyo wa Wilaya ameongeza kuwa mwanamke akitambua nafasi yake kwenye jamii na taifa, kunamsaidia kupata fursa sawa na wanawake wengine katika kushiriki shughuli za kiuchumi na Uongozi.


Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero Bi. Loema Peter amewashukuru na kuwapongeza wanawake wa Wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kuadhimisha siku hiyo huku akibainisha kuwa ni ishara ya kwamba wanawake wanathamini siku hiyo.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Mvomero Bi. Recho Kingu amesema kwa sasa jamii imepata uelewa juu ya haki sawa (50 kwa 50) na kwamba wanawake wanapata fursa sawa na wanaume kuanzia kwenye uongozi ambapo idadi ya Wanawake kwenye nafasi za uongozi inaongezeka kila siku.


MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.