• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

Posted on: April 13th, 2025

Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) katika Wilaya ya Mvomero imepongezwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kwa kutekeleza miradi ya maji kwa ufanisi hivyo, kupunguza adha ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa Wilaya hiyo.


Pongezi hizo zimetolewa Aprili 13, 2025 na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 Ndg. Ismail Ali Ussi wakati wa uzinduzi wa mradi wa usambazaji maji uliopo katika Kata ya Mangae.


Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru amesema kuwa katika maeneo ambayo mwenge huo umepita umeshuhudia ufanisi mkubwa uliofanywa na RUWASA katika kutekeleza miradi yake kwa ajili ya kuwahudumia wananchi.


Aidha, ameongeza kuwa ufanisi huo unajidhihirisha Wilayani Mvomero ambapo RUWASA imejenga mradi wa maji ambao ni mkombozi kwa wananchi wa Kata ya Mangae.


“...leo hii ndani ya Wilaya ya Mvomero inaonesha jitihada gani ambazo wanazifanya kama wenzetu katika kuwasaidia wananchi hongereni sana wenzetu wa RUWASA...” amesema Ndg. Ismail Ussi.


Sambamba na hilo Kiongozi huyo wa Mbio wa Uhuru amewasisitiza wananchi kutunza miundominu ya maji ili iendelee kudumu kwa muda mrefu na kuleta manufaa yaliyokusudiwa.


Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mvomero Mhe. Jonas Van Zeeland amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwatatulia kero ya maji wananchi wa Mangae ambao wamekuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta huduma ya maji safi na salama. Aidha, Mhe. Zeeland amebainisha kuwa miradi ya maji inayotekelezwa katika Wilaya hiyo inagharimu zaidi ya shilingi bilioni 15 huku akiongeza kuwa wahandisi wanaendelea na kazi.


Naye, Meneja wa RUWASA Wilaya ya Mvomero Mhandisi Mlenge Nasibu amesema mradi huo unagharimu kiasi cha shilingi milioni 643,750,000 chanzo cha fedha ni P4R yaani lipa kwa matokeo. Mhandisi Mlenge

ameongeza kuwa Manufa ya mradi huu ni kuondoa changamoto ya maji kwa wananchi wapatao 4049.


MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MVOMERO YAWEKA MIKAKATI YA KUFANYA VIZURI KATIKA KIPENGERE CHA USAFI WA MAZINGIRA

    August 20, 2025
  • ZOEZI LA UTOAJI FOMU ZA UTEUZI LAENDELEA KUSHIKA KASI

    August 20, 2025
  • UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI

    August 19, 2025
  • DC MAULID DOTTO AAHIDI KUTAFUTA ENEO KWA AJILI YA MASHINDANO YA MAGARI

    August 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.