• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MVOMERO AFUNGUA MAFUNZO KWA MAKARANI WAONGOZA WAPIGA KURA, AWATAKA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MAELEKEZO YA TUME

Posted on: October 25th, 2025

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mvomero Bi. Mary Kayowa ameongoza ufunguzi wa mafunzo ya siku moja kwa Makarani Waongoza Wapiga Kura, akisisitiza umuhimu wa kufuata sheria, kanuni na maelekezo yote yanayotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru, haki na wa amani.


Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo, Oktoba 25, 2025 yaliyofanyika katika ukumbi wa Community Centre uliopo Tarafa ya Turiani Msimamizi huyo wa Uchaguzi amesema kuwa jukumu la Makarani ni muhimu sana katika kuhakikisha mchakato wa upigaji kura unafanyika kwa uwazi na uadilifu, hivyo ni lazima wazingatie maadili ya kazi na kuepuka upendeleo wa aina yoyote.


“...mnategemewa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na maelekezo yote mtakayopewa..." amesema Bi. Mary Kayowa.


Aidha, Msimamizi huyo wa uchaguzi amewasisitiza makarani hao kutokuwa sehemu ya malalamiko kwani wao ndiyo taswira ya zoezi la uchaguzi.


sambamba la hilo, wakati akihitimisha mafunzo hayo katika ukumbi wa prof. Kuzilwa uliopo katika Kata ya Mzumbe, Msimamizi huyo wa uchaguzi amewataka kuzingatia suala la muda ili kuepusha malalamiko yasiyo ya lazima huku akiwasisitiza kuwa na lugha nzuri kwa wapiga kura.


Nao baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wamesema kuwa ubora wa zoezi la upigaji kura linaanzia kwao kama waongoza wapiga kura kwa sababu wao ni kama kamati ya mapokezi kwani namna watakavyo wapokea wapiga kura itaathiri mchakato huo.


"Kura yako Haki yako, Jitokeze kupiga kura"


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DKT. BASHIRU AIPONGEZA KAMPENI YA TUTUNZANE MVOMERO, ATAKA IWE NYENZO KUHAMASISHA UZALISHAJI MALISHO, UPATIKANAJI WA MAJI

    November 26, 2025
  • DC MAULID DOTTO ALETA TABASAMU KWA KIJANA KIDARIS BABO, AMKABIDHI KITI MWENDO KUMUWEZESHA KUTEMBEA

    November 21, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO KUHAKIKISHA UCHAGUZI UNAKUWA WA HURU NA HAKI

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UADILIFU, UAMINIFU NA UZALENDO

    October 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.