• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

MKUU WA WILAYA AJITAMBULISHA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA YA KIBATI

Posted on: October 15th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Maulid Dotto ameendelea na ziara yake ya kujitambulisha, kujua maeneo ya mipaka na kusikiliza kero za wananchi katika Kata na Vijiji vya Wilaya ya Mvomero, ambapo Oktoba 15, 2025 amefika Kijiji cha Salawe Kata ya Kibati akiwa ameambatana na Wataalam kutoka Halmashauri na Taasisi mbalimbali zilizomo ndani ya Wilaya ya Mvomero.


Katika mkutano huo wa hadhara, wananchi walipata fursa ya kueleza changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwemo tatizo la maji kutoka machafu na miundombinu mibovu ya maji inayosababisha ukosefu wa maji, kuharibika kwa barabara ya tembo - Diburuma na Mkandarasi hayupo eneo la kazi, migogoro ya ardhi kati ya Hoza na Pemba, Hoza na Kibogoji, Diburuma na Pandambili, Lusale (Kilindi) na Salawe (Kibati Mvomero). Huduma za Afya watoto na wazee i kuchangishwa fedha, kukatikakatika kwa umeme ambapo inapelekea uharibifu wa vifaa na upungufu wa watumishi.


Akizungumza baada ya kusikiliza kero hizo, Mhe. Dotto aliwataka Wataalam watoe majibu kwa hoja zilizowasilishwa mezani


Mtaalam kutoka RUWASA Ndg. Michael Mdoe alieleza kuwa mradi wa maji unakabiliwa kuwa na miundombinu chakavu, Serikali ipo katika harakati za kujenga mradi mkubwa wa maji Kibati katika Kijiji cha Kipangilo, Hoza, Salawe, Diburuma mkandara anasubiri kusaini mkataba.


Kuhusu suala la kukatika kwa umeme Meneja wa TANESCO ndg. Daniel Chaula alieleza kuwa Kijiji cha Kibogoji waya unaopeleka nishati umepata hitilafu hivyo aliwaomba wananchi wawe wavumilivu wataalam wanalifanyia kazi.


Suala la ubovu wa barabara Tembo mchafu - Pandambili mwakilishi Meneja wa TARURA Ndg. Pantaleo alieleza kuwa suala hilo limewekwa kwenye bajeti 2025/2026. Mkandarasi hayupo katika eneo la kazi kwasababu kulikuwa na changamoto ya fedha pamoja na barabara ya Salawe - Diburuma.


Mgogoro wa mipaka kati ya Hoza na Pemba Mkuu wa Wilaya aliomba apatiwe tathmini ya ripoti na maelekezo aliyotoa mtangulizi wake ili yeye aanzie hapo. Mgogoro wa mpaka kati ya Kilindi na Mvomero watakaa pande zote mbili ili kulifanyia kazi


Wananchi walimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufika kusikiliza kero zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DKT. BASHIRU AIPONGEZA KAMPENI YA TUTUNZANE MVOMERO, ATAKA IWE NYENZO KUHAMASISHA UZALISHAJI MALISHO, UPATIKANAJI WA MAJI

    November 26, 2025
  • DC MAULID DOTTO ALETA TABASAMU KWA KIJANA KIDARIS BABO, AMKABIDHI KITI MWENDO KUMUWEZESHA KUTEMBEA

    November 21, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO KUHAKIKISHA UCHAGUZI UNAKUWA WA HURU NA HAKI

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UADILIFU, UAMINIFU NA UZALENDO

    October 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.