• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

DC MVOMERO AJITAMBULISHA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA ZA LUBUNGO, MZUMBE

Posted on: October 16th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Maulid Dotto Oktoba 16, 2025 amemendelea na ziara yake ya kujitambulisha na kusikiliza kero za wananchi katika Kata ya Lubungo Kijiji cha Kimambila na Kata ya Mzumbe Kijiji cha Changarawe. Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ameambatana na Wataalam wa Halmashauri na Taasisi mbalimbali zilizopo ndani ya Wilaya ya Mvomero ambapo changamoto mbalimbali zimeibuliwa na wananchi.


Katika mkutano huo wa hadhara, wananchi walieleza kero zinazowakabili katika Vijiji vyao wakianza na Kata ya Lubungo changamoro ni tatizo la wanyama wakali na waharibifu (tembo na fisi), ukosefu wa ofisi ya Kijijini cha Kimambila kilichokuwepo kimepitia na nguzo A umeme, tatizo la umeme, ukosefu wa maabara, nyumba za walimu (Kimambila), ubovu wa barabara Lugala - Lukobe, wanaomba wajengewa Kituo cha Polisi, Polisi jamii hawana vitambulisho na vitendea kazi, ukosefu wa Zahanati, Vitongoji 4 havijafikiwa na umeme, wafugaji kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima, ombi la kujengewa hosteli kwa watoto wakike, uhaba wa vitabu, uboreshaji wa viwanja vya michezo uliokuwepo umepitia na nguzo za umeme na mpaka kati ya Kijiji chha Kimambila na Lukobe.


Kwa upande wa Kata ya Mzumbe Kijiji cha Changarawe changamoto zilikuwa miundombinu mibovu ya barabara, ukosefu wa Kituo cha Afya, uhaba wa maji, wananchi wametakiwa kuhama nyumba zao kupisha mkondo wa maji, kuvamiwa kwa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya makaburi na ukosefu wa umeme na maji katika Kijiji cha Ngole.


Akizungumza baada ya kusikiliza kero hizo, Mhe. Dotto aliwataka Wataalam watoe majibu kwa hoja zilizowasilishwa mezani pia aliahidi kushirikiana na viongozi wa Halmashauri, Vijiji na Taasisi husika kuhakikisha changamoto zao zinatafutiwa ufumbuzi wa haraka. Alisisitiza kuwa Serikali ina dhamira ya dhati ya kuboresha maisha ya wananchi wa mvomero kupitia utatuzi wa migogoro, uboreshaji wa miundombinu na upanuzi wa huduma za kijamii.


Wananchi walimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufika kusikiliza kero zao moja kwa moja na kuonesha matumaini kuwa hatua stahiki zitachukuliwa ili kupunguza changamoto wanazokabiliana.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 14, 2025
  • MAJINA YA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WALIOITWA KWENYE USAILI OKTOBA 17, 2025 October 14, 2025
  • MAJINA YA RESERVE WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WANAOTAKIWA KWENYE USAILI KATIKA KATA October 14, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DKT. BASHIRU AIPONGEZA KAMPENI YA TUTUNZANE MVOMERO, ATAKA IWE NYENZO KUHAMASISHA UZALISHAJI MALISHO, UPATIKANAJI WA MAJI

    November 26, 2025
  • DC MAULID DOTTO ALETA TABASAMU KWA KIJANA KIDARIS BABO, AMKABIDHI KITI MWENDO KUMUWEZESHA KUTEMBEA

    November 21, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO KUHAKIKISHA UCHAGUZI UNAKUWA WA HURU NA HAKI

    October 27, 2025
  • WASIMAMIZI, WASIMAMIZI WASAIDIZI VITUO VYA KUPIGIA KURA WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UADILIFU, UAMINIFU NA UZALENDO

    October 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.