• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

CHANJO 172 ZATOLEWA KWA WATOTO SIKU YA MUUNGANO

Posted on: April 26th, 2023

Wiki ya Chanjo imezinduliwa Siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, kwa chanjo 172 kutolewa kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Akizindua zoezi la Chanjo katika Zahanati ya Kata ya Dakawa Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amewatoa hofu wazazi wenye wasiwasi kuhusu usalama wa Chanjo hizo, kwamba ni ziko salama na wajitokeze kwa wingi kupeleka watoto katika vituo vya kutolea Chanjo.


Lakini pia DC Judith Nguli ameeleza kuwa watoto wadogo ni rahisi kunyemelewa na magonjwa mbalimbali hivyo ni muhimu wapatiwe Chanjo ili wawe salama katika hatua za ukuaji.
Kwa mujibu wa Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Daktari Alex Mnzava Watoto wanaotarajiwa kunufaika na huduma ya Chanjo ndani ya Wiki hii ni 6,770 ambao wana umri wa chini ya miaka mitano, ilhali watoto wengine 1,220 waliochelewa kupata Chanjo mbalimbali wataendelewa kufikiwa na na huduma hiyo.
Daktari Alex Mnzava ameongeza kuwa , katika Wiki hii ya Chanjo, watoto watakaopatiwa Chanjo pia, watapatiwa vyandarua kwa ajili ya kujikinga na ugonjwa hatari wa Malaria.


Jumla ya Chanjo zilizochanjwa katika Siku ya Uzinduzi ni 172 ambapo kati ya hizo, Chanjo ya Surua ya kwanza watoto waliochanjwa ni 65 na Surua ya Pili watoto waliochanjwa ni 67, wakati Chanjo ya Ugonjwa wa Polio, watoto waliochanjwa Polio ya Kwanza ni 13 na waliochanjwa Polio ya Pili 27”.


Aidha Chanjo nyingine itayotolewa ni Chanjo ya Mlango wa Shingo ya kizazi kwa watoto wa kike.
Wiki ya Chanjo imeanza tarehe 24 na inatarajiwa kukamilika tarehe 29 Mwezi wa April Mwaka 2023.

Matangazo

  • MAJINA YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR KIT OPERATORS. February 22, 2025
  • Majina ya Waandishi wasaidizi na BVR KIT Operators February 22, 2025
  • Kuitwa Kwenye Usahili Nafasi Ya Mtendaji Wa Kijiji,Mtunza Kumbukumbu,Afisa Hesabu Msaidizi,Dereva wa Ambulance na Katibu Muhtasi. October 12, 2021
  • TENDER MVOMERO May 28, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RUWASA MVOMERO YAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAJI KWA UFANISI

    April 13, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 7 YENYE THAMANI YA TSH. 1.06 WILAYANI MVOMRO

    April 13, 2025
  • DC MVOMERO AAGIZA SHULE SHIKIZI MINGO ISAJILIWE, IPOKEE WANAFUNZI JANUARI 2025

    March 27, 2025
  • KUU MVOMERO YAKISHUKURU KIWANDA CHA SUKARI MTIBWA KWA KUSAIDIA WANANCHI KURUDISHA MTO KWENYE MKONDO WAKE

    March 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.