• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
MVOMERO DISTRICT COUNCIL
MVOMERO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ardhi na Maliasili
      • Utumishi na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Uongozi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
    • Vitengo
      • Teknolojia,Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
    • Baraza la Madiwani
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Rasilimali Watu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Itakayo tekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Viwanda
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti

Teknolojia,Habari na Mawasiliano



Kitengo kinasimamiwa na Mkuu wa Kitengo ambaye anaratibu na kusimamia shughuli zote za TEHAMA.

Eneo la TEHAMA

1.Monitor and maintain active network equipments

Kutathmini mifumo ya mtandao wa kompyuta (Evaluate and troubleshoot network systems).

1.Kutayarisha na kutunza miongozo,taratibu na viwango vya mifumo ya kompyuta.

2.Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa mifumo, miundombinu na vifaa vya TEHAMA;

3.Kuibua mahitaji ya mifumo ili iweze kusanifiwa na kisha kutengenezwa na kutumika;

4.Kuchambua na kuainisha huduma zinazoweza kutolewa na mifumo ya kielekroniki katika Halmashauri;

5.Kuhakikisha mtandao kiambo (Local Area Network) katika Halmashauri inafanya kazi na mtandao wa intaneti unapatikana;

6.Kutengeneza utaratibu mzuri wa kutunza taarifa na data ili ziweze kutumika wakati wa majanga;

7.Kufanya na kusimamia matengenezo ya vifaa vyote vya TEHAMA;

8.Kutoa sifa au viwango vya  vifaa kwa ajili ya manunuzi;

9.Kuhakikisha Halmashauri ina tovuti na inapatikana wakati wote.

Eneo la Uhusiano

1.Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa kazi za Uhusiano;

2.Kutangaza kazi na miradi inayofanyika katika Halmashauri;

3.Kutangaza maeneo ya uwekezaji ya Halmashauri katika tovuti, radio na majarida;

4.Kuhakikisha tovuti ya Halmashauri ina taarifa mpya kila wakati.

5.Kuandaa na kutoa majarida kuhusu Halmashauri;

6.Kutumia TEHAMA katika kutoa elimu kwa jamii.

7.Kushauri Halmashauri juu ya uandaaji, uzalishaji na usambazaji wa nyaraka kwa wadau mbalimbali.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA. June 10, 2019
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA KWA MWAKA WA MASOMO 2019. December 18, 2018
  • Walioitwa kwenye Usaili Nafasi ya Data Clerk December 19, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI LEO 6/09/2017 September 06, 2017
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Makabidhiano ya Hati

    March 21, 2019
  • Mkuu wa Wilaya akabidhi vitambulisho 10,000 kwa Wafanya Biashara Wadogo Wilayani Mvomero.

    February 14, 2019
  • Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Wilaya Akagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi

    November 06, 2018
  • UKARABATI WA KITUO CHA AFYA KIBATI WAKARIBIA KUKAMILIKA

    September 13, 2018
  • Tazama Zote

Video

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kimkoa yafanyika Halimashauri ya Wilaya Mvomero
Video Zaidi

Viungo vya Haraka

  • Ukurasa wa Facebook

Viunganishi Linganifu

  • Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma
  • Ofisi ya Rais Ikulu
  • Ofisi ya Rais Tamisemi
  • Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira
  • Baraza la Mtihani la Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Wami Sokoine, Dakawa, Mvomero

    Anwani Ya Posta: P.O BOX 663, MOROGORO

    Msaada wa Kiufundi: +255 23 293 4348

    Mobile: +255 23 293 4348

    Baruapepe: ded@mvomerodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ©2018 Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.Haki zote zimehifadhiwa.